Monday, November 5, 2012

Mashabiki wa bongo si wavumilivu

Mashabiki wa timu ya simba hawatakiwi kupaniki kutokana na
kufungwa na Mtibwa sugar kwani ni matokeo ya mchezo mbona
R.Madrid alifungwa Barcerona mara nyingin lakini hawakutimuaana.
Yanga kufungwa nao wakamtimua kocha,soka la bongo tujipange sana

No comments:

Post a Comment