Sunday, October 27, 2013

BIN ZUBEIRY: AZAM TV KURUSHA 'LIVE' CHALLENGE YOOTE KUTOKA KENY...

BIN ZUBEIRY: AZAM TV KURUSHA 'LIVE' CHALLENGE YOOTE KUTOKA KENY...: Na Mahmoud Zubeiry, Dar es Salaam MTENDAJI Mkuu wa Azam Media Group, Rhys Torrington amesema kwamba wanatarajia kununua haki za kuonyesha ...

BIN ZUBEIRY: WEMA SEPETU APATA MSIBA MZITO, BABA YAKE MZAZI AFA...

BIN ZUBEIRY: WEMA SEPETU APATA MSIBA MZITO, BABA YAKE MZAZI AFA...: Na Princess Asia, Mikocheni STAA wa filamu nchini na Miss Tanzania wa mwaka 2006, Wema Isaac Sepetu, amefiwa na baba yake mzazi, Balozi Is...

BIN ZUBEIRY: MAKAMU WA RAIS FIFA AMUITA YAYA KUZUNGUMZA NAYE JU...

BIN ZUBEIRY: MAKAMU WA RAIS FIFA AMUITA YAYA KUZUNGUMZA NAYE JU...: NYOTA wa Manchester City, Yaya Toure amekaribishwa kwa mazungumzo na Mkuu wa Idara ya Vita dhidi ya Ubaguzi ya FIFA juu ya maoni aliyoyato...

BIN ZUBEIRY: SPURS WAWAJIBU ARSENAL...WAWAFUATA WATU WALE WALE ...

BIN ZUBEIRY: SPURS WAWAJIBU ARSENAL...WAWAFUATA WATU WALE WALE ...: KLABU ya Tottenham ipo katika mpango wa siri wa kujenga Uwanja mpya wa kisasa zaidi utakaokuwa na uwezo wa kuchukua watu 65,000, ambao uta...

Saturday, October 26, 2013

BIN ZUBEIRY: BARCELONA YAUA CLASICO, NEYMAR NDIYO MBAYA WAO.......

BIN ZUBEIRY: BARCELONA YAUA CLASICO, NEYMAR NDIYO MBAYA WAO.......: NYOTA Mbrazil wa Barcelona, Neymar amekuwa na mwanzo mzuri katika mechi ya wapinzani wa jadi wa Hispania, 'El Clasico' baada ya ku...

BIN ZUBEIRY: SUAREZ APIGA HAT TRICK LIVERPOOL IKISHINDA 4-1 ENG...

BIN ZUBEIRY: SUAREZ APIGA HAT TRICK LIVERPOOL IKISHINDA 4-1 ENG...: MSHAMBULIAJI Luis Suarez amefunga maba matatu peke yake Liverpool ikishinda 4-1 dhidi ya West Brom katika Ligi Kuu ya England bao lingine ...

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED YATOKA NYUMA NA KUSHINDA 3-2, CHICHARIT...

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED YATOKA NYUMA NA KUSHINDA 3-2, CHICHARIT...: MSHAMBULIAJI Javier Hernandez 'Chicharito' ametokea benchi leo na kuifungia bao la ushindi kwa kichwa timu ya David Moyes, Manches...

BIN ZUBEIRY: ARSENAL YAENDELEA KUTAKATA LIGI KUU ENGLAND

BIN ZUBEIRY: ARSENAL YAENDELEA KUTAKATA LIGI KUU ENGLAND: ARSENAL imeibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu England leo na kuendelea kujinafasi kileleni mwa ligi...

BIN ZUBEIRY: MABINTI WA KIBONGO WAWAFUMUA MSUMBIJI 10-0 TAIFA J...

BIN ZUBEIRY: MABINTI WA KIBONGO WAWAFUMUA MSUMBIJI 10-0 TAIFA J...: Na Mahmoud Zubeiry, Dar es Salaam TIMU ya soka ya taifa ya wanawake kwa vijana chini ya umri wa miaka 20, The Tanzanites imeifunga Msumbij...

Wednesday, October 23, 2013

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC YAREJEA KILELENI LIGI KUU RA

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC YAREJEA KILELENI LIGI KUU RA: Na Mahmoud Zubeiry, Tanga  SIMBA SC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara licha ya kulazimishwa sare ya bila kufungana n...

BIN ZUBEIRY: YANGA SC YAWAPOZA MACHUNGU MASHABIKI WAKE, YAIFUMU...

BIN ZUBEIRY: YANGA SC YAWAPOZA MACHUNGU MASHABIKI WAKE, YAIFUMU...: Mshambuliaji wa Simba SC akimuacha chini bek Juma Nyosso katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vpodacom Tanzania leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. ...

BIN ZUBEIRY: YANGA SC YAWAPOZA MACHUNGU MASHABIKI WAKE, YAIFUMU...

BIN ZUBEIRY: YANGA SC YAWAPOZA MACHUNGU MASHABIKI WAKE, YAIFUMU...: Mshambuliaji wa Simba SC akimuacha chini bek Juma Nyosso katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vpodacom Tanzania leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. ...

BIN ZUBEIRY: YANGA SC YAFUFUA MATUMAINI YA UBINGWA LIGI KUU BAA...

BIN ZUBEIRY: YANGA SC YAFUFUA MATUMAINI YA UBINGWA LIGI KUU BAA...: Na Prince Akbar, Dar es Salaam YANGA SC imefufua matumaini ya kutetea ubingwa wake, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Rhin...

BIN ZUBEIRY: YANGA SC NA RHINO RANGERS KATIKA PICHA LEO TAIFA

BIN ZUBEIRY: YANGA SC NA RHINO RANGERS KATIKA PICHA LEO TAIFA: Mshambuliaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa akiwatoka mabeki wa Rhino Rangers katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo...

BIN ZUBEIRY: MALINZI AZINDUA KAMPENI ZA KURITHI KITI CHA TENGA ...

BIN ZUBEIRY: MALINZI AZINDUA KAMPENI ZA KURITHI KITI CHA TENGA ...: Mgombea Urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Emil Malinzi akizungumza Waandishi wa Habari katika uzinduzi wa kampeni zake ku...

BIN ZUBEIRY: MACHUPPA AMUAMBIA KIBADENI; "UMEZIDI KUSAKAMA WACH...

BIN ZUBEIRY: MACHUPPA AMUAMBIA KIBADENI; "UMEZIDI KUSAKAMA WACH...: Na Princess Asia, Dar es Salaam MSHAMBULIAJI wa zamani wa kimataifa wa Tanzania na klabu ya Simba SC, Athuman Machuppa ameonekana kukerwa ...

BIN ZUBEIRY: LEWANDOWSKI AITEKETEZA ARSENAL EMIRATES, CHELSEA Y...

BIN ZUBEIRY: LEWANDOWSKI AITEKETEZA ARSENAL EMIRATES, CHELSEA Y...: BAO la dakika za lala salama la Robert Lewandowski limeipa ushindi wa 2-1 Borussia Dortmund dhidi ya Arsenal katika Ligi ya Mabingwa Uwanj...

BIN ZUBEIRY: BRANDTS ALIZEMBEA KUZIBA UFA YANGA, NANI ALAUMIWE...

BIN ZUBEIRY: BRANDTS ALIZEMBEA KUZIBA UFA YANGA, NANI ALAUMIWE...: MECHI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya watani wa jadi katika soka ya Tanzania, Simba na Yanga Jumapili, ambayo iliisha kwa sar...

BIN ZUBEIRY: PIGO ARSENAL, PAMOJA KUPIGWA 2-1 NA DORTMUND, WILS...

BIN ZUBEIRY: PIGO ARSENAL, PAMOJA KUPIGWA 2-1 NA DORTMUND, WILS...: MASHABIKI wa Arsenal wamejawa hofu baada ya kuona picha za kiungo Jack Wilshere akiwa ameinua mguu wake akipozwa maumivu kwa barafu baada ...

BIN ZUBEIRY: ROBINHO NA NEYMAR 'WAFANYA YAO' SAN SIRO BARCELONA...

BIN ZUBEIRY: ROBINHO NA NEYMAR 'WAFANYA YAO' SAN SIRO BARCELONA...: WASHAMBULIAJI Neymar na Robinho walionekana kutaka sana kubadilishana jezi katika mechi baina ya timu zao, AC Milan na Barcelona Ligi ya M...

BIN ZUBEIRY: ROBINHO NA NEYMAR 'WAFANYA YAO' SAN SIRO BARCELONA...

BIN ZUBEIRY: ROBINHO NA NEYMAR 'WAFANYA YAO' SAN SIRO BARCELONA...: WASHAMBULIAJI Neymar na Robinho walionekana kutaka sana kubadilishana jezi katika mechi baina ya timu zao, AC Milan na Barcelona Ligi ya M...

BIN ZUBEIRY: UTUNDU WA HALI YA JUU WA ROBINHO JANA DHIDI YA BAR...

BIN ZUBEIRY: UTUNDU WA HALI YA JUU WA ROBINHO JANA DHIDI YA BAR...: MSHAMBULIAJI Robinho alionyesha utundu wa hali ya juu wa kuuchezea mpira jana katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya timu yake AC...

Monday, October 21, 2013

BIN ZUBEIRY: NYOTA BARCELONA WATUA NADHIFU ILE MBAYA ITALIA KUI...

BIN ZUBEIRY: NYOTA BARCELONA WATUA NADHIFU ILE MBAYA ITALIA KUI...: KIKOSI cha Barcelona kimewasili mjini Milan leo kwa maandalizi ya mchezo wa Kundi H wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya AC Milan wachezaji ...

BIN ZUBEIRY: FERGUSON AKIRI KUMUUZA STAM LILIKUWA KOSA KUBWA ZA...

BIN ZUBEIRY: FERGUSON AKIRI KUMUUZA STAM LILIKUWA KOSA KUBWA ZA...: KOCHA Sir Alex Ferguson amesema kwamba kosa kubwa alilowahi kufanya wakati akiwa kazini ni kumuacha beki Mholanzi, Jaap Stam aondoke Manch...

BIN ZUBEIRY: BREAKING NEWS; CHANONGO NA HUMUD 'WATIMULIWA' SIMB...

BIN ZUBEIRY: BREAKING NEWS; CHANONGO NA HUMUD 'WATIMULIWA' SIMB...: Na Mahmoud Zubeiry, Dar es Salaam VIUNGO Abdulhalim Humud ‘Gaucho’ na Haroun Othman Chanongo wameondolewa katika kikosi cha kwanza cha Sim...

BIN ZUBEIRY: WENGER BADO AWAHOFIA MAN UNITED MBIO ZA UBINGWA LI...

BIN ZUBEIRY: WENGER BADO AWAHOFIA MAN UNITED MBIO ZA UBINGWA LI...: KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger bado hajaiondoa katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya England, Manchester United. The Gunners wamepaa ki...

BIN ZUBEIRY: SIMBA NA YANGA JANA YAINGIZA MILIONI 500 NA UPUUZI...

BIN ZUBEIRY: SIMBA NA YANGA JANA YAINGIZA MILIONI 500 NA UPUUZI...: Na Boniface Wambura, Ilala MECHI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana baina ya watani wa jadi Simba na Yanga iliyochezwa Uwanja wa Ta...

BIN ZUBEIRY: AZAM FC MATAWI YA JUU, MBEYA CITY YAZITIMULIA VUMB...

BIN ZUBEIRY: AZAM FC MATAWI YA JUU, MBEYA CITY YAZITIMULIA VUMB...: Azam FC sasa wako juu katika msimamo wa Ligi wa Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, wakiwa na pointi 20 sawa na Mbeya City, lakini wanaongoza k...

Sunday, October 20, 2013

BIN ZUBEIRY: PAMBAO LA SIMBA NA YANGA SC KATIKA PICHA LEO UWANJ...

BIN ZUBEIRY: PAMBAO LA SIMBA NA YANGA SC KATIKA PICHA LEO UWANJ...: La kusawazsha; Kipa wa Yanga SC, Ally Mustafa 'Barthez' akiruka bila mafanikio kuokoa mpira uliopigwa na Gilbert Kaze kuipatia Si...

BIN ZUBEIRY: KIBADENI: KAMA SI HUJUMA, NINGEWAFUNGA YANGA ZAIDI...

BIN ZUBEIRY: KIBADENI: KAMA SI HUJUMA, NINGEWAFUNGA YANGA ZAIDI...: Na Mahmoud Zubeiry, Dar es Salaam KOCHA Mkuu wa Simba SC, Alhaj Abdallah Athumani Seif ‘King Kibaden’ amesema kwamba kambi yao ya kujianda...

Friday, October 18, 2013

BIN ZUBEIRY: KITAALAMU ZAIDI KUHUSU PAMBANO LA WATANI KESHO, SI...

BIN ZUBEIRY: KITAALAMU ZAIDI KUHUSU PAMBANO LA WATANI KESHO, SI...: Na Mahmoud Zubeiry, Dar es Salaam NYASI za Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam zinatarajiwa kuwaka moto Jumapilii (Oktoba 20, 2013) kwa mpamban...

Tuesday, October 15, 2013

Wednesday, September 18, 2013

BIN ZUBEIRY: KASEJA ATUA ASHANTI UNITED KUGOMBEA NAMBA NA AMANI...

BIN ZUBEIRY: KASEJA ATUA ASHANTI UNITED KUGOMBEA NAMBA NA AMANI...: Na Prince Akbar, IMEWEKWA SEPTEMBA 18, 2013 SAA 5:08 ASUBUHI  NAHODHA wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Juma Kaseja ameji...

BIN ZUBEIRY: SIMBA YAUNGURUMA TAIFA, YANGA NA AZAM TAABAN MSIMU...

BIN ZUBEIRY: SIMBA YAUNGURUMA TAIFA, YANGA NA AZAM TAABAN MSIMU...: Na Prince Akbar, IMEWEKWA SEPTEMBA 18, 2013 SAA 12:31 JIONI SIMBA SC imeonyesha ni tishio msimu huu baada tya kushinda mabao 6-0 dhidi ya ...

Wednesday, September 11, 2013

BIN ZUBEIRY: MOURINHO ANAVYOMUANDAA ADAM NDITI KUCHUKUA NAFASI ...

BIN ZUBEIRY: MOURINHO ANAVYOMUANDAA ADAM NDITI KUCHUKUA NAFASI ...: IMEWEKWA SEPTEMBA 11, 2013 SAA 3:35 ASUBUHI Kocha Mreno, Jose Mourinho kushoto akimpa maelekezo kiungo chipukizi wa Chelsea B, Mtanzan...

Tuesday, September 10, 2013

BIN ZUBEIRY: BARCELONA YALAMBA UDHAMINI MPYA MNONO WA MABILIONE...

BIN ZUBEIRY: BARCELONA YALAMBA UDHAMINI MPYA MNONO WA MABILIONE...: Na Nurat Mahmoud, IMEWEKWA SEPTEMBA 10, 2013, SAA 3:00 ASUBUHI KLABU ya Barcelona imeingia Mkataba wa miaka mitatu wa udhamini na Benki y...

BIN ZUBEIRY: HUU NDIO UJIO WA AZAM TV, 'FUNIKA BOVU'

BIN ZUBEIRY: HUU NDIO UJIO WA AZAM TV, 'FUNIKA BOVU': IMEWEKWA SEPTEMBA 9, 2013 SAA 9:42 ALASIRI Mtaalamu kutoka Afrika, Martin Botha akitoa mafunzo kwa crew ya Azam TV katika ofisi kuu za k...

Wednesday, September 4, 2013

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED ILICHEMSHA DAU LANGU- KHEDIRA

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED ILICHEMSHA DAU LANGU- KHEDIRA: IMEWEKWA SEPTEMBA 3, 2013 SAA 12: 31 JIONI NYOTA wa Real Madrid, Sami Khedira amesema Manchester United ilitoa ofa ya Pauni Milioni 34 k...

BIN ZUBEIRY: KIMENUKA YANGA SC, WANACHAMA WALIANZISHA KUPINGA M...

BIN ZUBEIRY: KIMENUKA YANGA SC, WANACHAMA WALIANZISHA KUPINGA M...: Na Prince Akbar, IMEWEKWA SEPTEMBA 3, 2013 SAA 3:42 USIKU KITENDO cha uongozi wa Yanga kufanya mabadiliko ya sekretarieti ya klabu kimezu...

BIN ZUBEIRY: SIRI NYINGINE IMEFICHUKA OLD TRAFFORD, UNITED ILIJ...

BIN ZUBEIRY: SIRI NYINGINE IMEFICHUKA OLD TRAFFORD, UNITED ILIJ...: IMEWEKWA SEPTEMBA 3, 2013 SAA 4:30 USIKU KLABU ya Galatsaray ya Uturuki imesema Manchester United ilitoa ofa ya kumnunua kiungo wake mwe...

Tuesday, September 3, 2013

BIN ZUBEIRY: PIGO ARSENAL, PODOLSKI ATAKIWA KUWA NJE MIEZI MITA...

BIN ZUBEIRY: PIGO ARSENAL, PODOLSKI ATAKIWA KUWA NJE MIEZI MITA...: IMEWEKWA SEPTEMBA 3, 2013, SAA 8:17 MCHANA BAADA ya kumsajili Mesut Ozil kwa dau la Pauni Milioni 42.5 katika siku ya mwisho ya kufungwa...

BIN ZUBEIRY: MAZEMBE YAWAZUIA SAMATTA NA ULIMWENGU KUJA STARS K...

BIN ZUBEIRY: MAZEMBE YAWAZUIA SAMATTA NA ULIMWENGU KUJA STARS K...: Na Boniface Wambura, IMEWEKWA SEPTEMBA 3, 2013, SAA  11:52 JIONI KLABU ya Tout Puissant Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)...

BIN ZUBEIRY: FELLAINI ATAMBULISHWA MAN UNITED TAYARI KUANZA KAZ...

BIN ZUBEIRY: FELLAINI ATAMBULISHWA MAN UNITED TAYARI KUANZA KAZ...: IMEWEKWA SEPTEMBA 3, 2013 SAA 4:23 ASUBUHI Wameungana tena: Marouane Fellaini akiwa na kocha David Moyes baada ya kusaini Manchester...

BIN ZUBEIRY: MABINGWA WA KENYA TUSKER FC WATUA DAR ALHAMISI KUK...

BIN ZUBEIRY: MABINGWA WA KENYA TUSKER FC WATUA DAR ALHAMISI KUK...: Na Prince Akbar, IMEWEKWA SEPTEMBA 2, 2013 SAA 6:39 MCHANA MABINGWA wa Kenya, Tusker FC wanawasili nchini Alhamisi kwa ajili ya michezo m...

BIN ZUBEIRY: USAJILI; WALIOTEMWA NA KUSAJILIWA KLABU ZOTE LIGI ...

BIN ZUBEIRY: USAJILI; WALIOTEMWA NA KUSAJILIWA KLABU ZOTE LIGI ...: Switch: Liverpool completed the loan signing of Victor Moses from Chelsea on transfer deadline day ARSENAL IN Yaya Sanogo  (...

Monday, September 2, 2013

BIN ZUBEIRY: YAMETIMIA, WENGER AMSAINI OZIL KWA DAU LA REKODI A...

BIN ZUBEIRY: YAMETIMIA, WENGER AMSAINI OZIL KWA DAU LA REKODI A...: IMEWEKWA SEPTEMBA 3, 2013 7:04 USIKU KLABU ya Arsenal imemsaini Mesut Ozil kutoka Real Madrid kwa dau la rekodi katika klabu hiyo, Pauni...

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED HATIMAYE YAMSAJILI FELLAINI KWA PAUNI M...

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED HATIMAYE YAMSAJILI FELLAINI KWA PAUNI M...: IMEWEKWA SEPTEMBA 3, 2013 SAA 9:50 USIKU KLABU ya Manchester United  imemsaini Marouane Fellaini kutoka Everton kwa Pauni Milioni 27.5. ...

BIN ZUBEIRY: LUKAKU ATUA EVERTON KWA MKOPO

BIN ZUBEIRY: LUKAKU ATUA EVERTON KWA MKOPO: IMEWEKWA SEPTEMBA 3, 2003 SAA 10:30 ALFAJIRI kLABU ya Everton imeshinda vita dhidi ya West Brom kuwania saini ya mshambuliaji wa Chelsea...

BIN ZUBEIRY: HENRY JOSEPH AREJESHWA TAIFA STARS BAADA YA KUREJE...

BIN ZUBEIRY: HENRY JOSEPH AREJESHWA TAIFA STARS BAADA YA KUREJE...: HENRY JOSEPH AITWA TAIFA STARS Na Boniface Wambura, IMEWEKWA SEPTEMBA 2, 2013 SAA 9:14 ALASIRI KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Ta...

BIN ZUBEIRY: GARETH BALE ALIVYOTAMBULISHWA REAL MADRID LEO

BIN ZUBEIRY: GARETH BALE ALIVYOTAMBULISHWA REAL MADRID LEO: LIVE: GARETH BALE kutambulishwa REAL MADRID IMEWEKWA SEPTEMBA 2, 2013 SAA 9:30 ALASIRI

BIN ZUBEIRY: KOCHA MSAIDIZI ABWAGA MANYANGA YANGA, KISA KUTOTHA...

BIN ZUBEIRY: KOCHA MSAIDIZI ABWAGA MANYANGA YANGA, KISA KUTOTHA...: Na Prince Akbar, IMEWEKWA SEPTEMBA 2, 2013 SAA 9:45 ALASIRI KOCHA Msaidizi wa timu ya pili ya Yanga SC, maarufu kama Yanga B, Abubakar Sa...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC YAIKANDAMIZA NNE MAFUNZO, TAMBWE AFUNGUA ...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC YAIKANDAMIZA NNE MAFUNZO, TAMBWE AFUNGUA ...: Na Mahmoud Zubeiry, IMEWEKWA SEPTEMBA 2, 2013 SAA 1:00 USIKU MSHAMBULIAJI mpya Mrundi wa Simba SC, Amisi Tambwe leo amefungua akaunti ya ...

BIN ZUBEIRY: LIVERPOOL YASAJILI MABEKI WAWILI KWA MPIGO

BIN ZUBEIRY: LIVERPOOL YASAJILI MABEKI WAWILI KWA MPIGO: IMEWEKWA SEPTEMBA 2, 2013 SAA 2:14 USIKU KLABU ya Liverpool imethibitisha kusajili mabeki Tiago Ilori kutoka Sporting Lisbon na Mamadou ...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC NA MAFUNZO ILIVYOKUWA LEO...TAMBWE AONYES...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC NA MAFUNZO ILIVYOKUWA LEO...TAMBWE AONYES...: IMEWEKWA SEPTEMBA 2, 2013 SAA 2:28 USIKU Mshambuliaji mpya wa Simba SC, Amisi Tambwe kulia akimtoka beki wa Mafunzo ya Zanzibar katika...

Sunday, September 1, 2013

BIN ZUBEIRY: HATIMAYE BALE ATUA REAL MADRID KWA DAU LA REKODI Y...

BIN ZUBEIRY: HATIMAYE BALE ATUA REAL MADRID KWA DAU LA REKODI Y...: IMEWEKWA SEPTEMBA 2, 2013 SAA 2:21 ASUBUHI HATIMAYE uhamisho wa Gareth Bale ulikamilika jana usiku alipotua Real Madrid kwa dau la rekod...

BIN ZUBEIRY: ARSENAL WATOA PAUNI MILIONI 40 KWA MESUT OZIL...LA...

BIN ZUBEIRY: ARSENAL WATOA PAUNI MILIONI 40 KWA MESUT OZIL...LA...: IMEWEKWA SEPTEMBA 2, 2013 SAA 2:48 ASUBUHI KLABU ya Arsenal imetoa ofa ya Pauni Milioni 40 kwa ajili ya kiungo wa Real Madrid, Mesut Ozi...

BIN ZUBEIRY: STURRIDGE AITEKETEZA MAN UNITED ANFIELD...LIVERPOO...

BIN ZUBEIRY: STURRIDGE AITEKETEZA MAN UNITED ANFIELD...LIVERPOO...: IMEWEKWA SEPTEMBA 1, 2013 SAA 11:48 JIONI BAO pekee la Daniel Sturridge limeipa Liverpool ushindi wa tatu mfululizo katika Ligi Kuu ya E...

BIN ZUBEIRY: ARSENAL YANG'ARA ENGLAND, GIROUD AWAZIMA SPURS EMI...

BIN ZUBEIRY: ARSENAL YANG'ARA ENGLAND, GIROUD AWAZIMA SPURS EMI...: IMEWEKWA SEPTEMBA 1, 2013 SAA 2:05 USIKU ARSENAL imewazima wapinzani wa London Kaskazini, Tottenham Hotspur kwa mabao 3-0 katika mchezo wa...

BIN ZUBEIRY: 'MIDO LA UKWELI' JONAS MKUDE WA SIMBA SC AONGEZWA ...

BIN ZUBEIRY: 'MIDO LA UKWELI' JONAS MKUDE WA SIMBA SC AONGEZWA ...: Na Boniface Wambura, IMEWEKWA SEPTEMBA 1, 2013 SAA 6:30 MCHANA KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude ameitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kinacho...

BIN ZUBEIRY: WANASOKA WATATU WA TANZANIA KUKIPIGA UJERUMANI, WA...

BIN ZUBEIRY: WANASOKA WATATU WA TANZANIA KUKIPIGA UJERUMANI, WA...: Na Boniface Wambura, IMEWEKWA SEPTEMBA 1, 2013 SAA 6:34 MCHANA CHAMA cha Soka Ujerumani (DBU) kimetuma maombi ya Hati ya Uhamisho wa Kima...

BIN ZUBEIRY: KIGGI MAKASSY KUPEWA MKONO WA KWAHERI KESHO SIMBA ...

BIN ZUBEIRY: KIGGI MAKASSY KUPEWA MKONO WA KWAHERI KESHO SIMBA ...: Na Ezekiel Kamwaga, IMEWEKWA SEPTEMBA 1, 2013 SAA 7:12 MCHANA KIUNGO wa Simba SC, Kiggi Makassy, kesho anatarajiwa kuwaaga mashabiki wa k...

BIN ZUBEIRY: MAN CITY YAZINDUKA ENGLAND, MABAO YA NEGREDO NA YA...

BIN ZUBEIRY: MAN CITY YAZINDUKA ENGLAND, MABAO YA NEGREDO NA YA...: IMEWEKWA SEPTEMBA 1, 2013 SAA 10:55 ALFAJIRI KLABU ya Manchester City imezinduka na kupata ushindi wa mabao 2-0 katika Ligi Kuu ya Engla...

BIN ZUBEIRY: ROONEY HATARINI KUWAKOSA LIVERPOOL LEO, AUMIA KICH...

BIN ZUBEIRY: ROONEY HATARINI KUWAKOSA LIVERPOOL LEO, AUMIA KICH...: IMEWEKWA SEPTEMBA 1, 2013 SAA 11:14 ALFAJIRI MSHAMBULIAJI Wayne Rooney amezalisha hofu Manchester United baada ya kuumia kichwa jana asu...

BIN ZUBEIRY: YANGA SC SASA WACHEZE BILA MASHABIKI UWANJANI, HIY...

BIN ZUBEIRY: YANGA SC SASA WACHEZE BILA MASHABIKI UWANJANI, HIY...: IMEWEKWA SEPTEMBA 1, 2013 SAA 12:15 ASUBUHI WAHENGA wamenena, samaki mkunje angali mbichi- lakini pia tuna usemi mwingine; tahadhari ni bo...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC NA MAFUNZO SASA KUPIGWA KESHO JIONI UWANJ...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC NA MAFUNZO SASA KUPIGWA KESHO JIONI UWANJ...: Na Prince Akbar, IMEWEKWA SEPTEMBA 1, 2013 SAA 12:22 ASUBUHI MCHEZO maalum wa kirafiki baina ya Simba SC na Mafunzo ya Zanzibar uliokuwa ...

Saturday, August 31, 2013

BIN ZUBEIRY: SOLOMON KALOU KUTUA ARSENAL...GUNNERS TAYARI KUIKA...

BIN ZUBEIRY: SOLOMON KALOU KUTUA ARSENAL...GUNNERS TAYARI KUIKA...: IMEWEKWA AGOSTI 31, 2013 SAA 5:46 ASUBUHI KLABU ya Arsenal ipo katika mazungumzo na Lille ya Ufaransa juu ya kumsajili Salomon Kalou huk...

BIN ZUBEIRY: CHELSEA YAPIGWA NA BAYERN KWA MATUTA BAADA TA SARE...

BIN ZUBEIRY: CHELSEA YAPIGWA NA BAYERN KWA MATUTA BAADA TA SARE...: IMEWEKWA AGOSTI 31, 2013 SAA 11:00 ALFAJIRI BAYERN Munich imetwaa Super Cup ya Ulaya baada ya kuifuna Chelsea kwa penalti 5-4 kufuatia s...

Friday, August 30, 2013

BIN ZUBEIRY: CHEKA AMDUNDA MMAREKANI KWA POINTI

BIN ZUBEIRY: CHEKA AMDUNDA MMAREKANI KWA POINTI: IMEWEKWA AGOSTI 31, 2013 SAA 6: 55 USIKU Bondia Francis Cheka wa Tanzania akimtupia konde Mmarekani, Phil James katika pambano la Raun...

BIN ZUBEIRY: ETO'O ATAMBULISHWA RASMI CHELSEA NA KUKABIDHIWA UZ...

BIN ZUBEIRY: ETO'O ATAMBULISHWA RASMI CHELSEA NA KUKABIDHIWA UZ...: IMEWEKWA AGOSTI 30, 2013 SAA 10: 57 JIONI MSHAMBULIAJI Samuel Eto'o amesainisi Mkataba wa mwaka mmoja na Chelsea jana kwa mshahara w...

BIN ZUBEIRY: TFF, AZAM MEDIA ZASAINI MKATABA WA BILIONI 5.5 LIG...

BIN ZUBEIRY: TFF, AZAM MEDIA ZASAINI MKATABA WA BILIONI 5.5 LIG...: Na Boniface Wambura, IMEWEKWA AGOSTI 30, 2013 SAA 10:25 JIONI  SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) na kampuni ya Azam Media leo (Agosti 30 ...

BIN ZUBEIRY: MWANTIKA WA AZAM ACHUKUA NAFASI YA YONDAN TAIFA ST...

BIN ZUBEIRY: MWANTIKA WA AZAM ACHUKUA NAFASI YA YONDAN TAIFA ST...: Na Boniface Wambura, IMEWEKWA AGOSTI 30, 2013 SAA 10:25 JIONI  KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Kim Poulsen ...

BIN ZUBEIRY: ETO'O ATAMBULISHWA RASMI CHELSEA NA KUKABIDHIWA UZ...

BIN ZUBEIRY: ETO'O ATAMBULISHWA RASMI CHELSEA NA KUKABIDHIWA UZ...: IMEWEKWA AGOSTI 30, 2013 SAA 10: 57 JIONI MSHAMBULIAJI Samuel Eto'o amesainisi Mkataba wa mwaka mmoja na Chelsea jana kwa mshahara w...

BIN ZUBEIRY: STARS WAINGIA KAMBINI LEO KUJIANDAA KUKAMILISHA RA...

BIN ZUBEIRY: STARS WAINGIA KAMBINI LEO KUJIANDAA KUKAMILISHA RA...: Na Prince Akbar, IMEWEKWA AGOSTI 30, 2013 SAA 3:28 ASUBUHI KIKOSI cha timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, chini yake kocha wa...

BIN ZUBEIRY: HAKIKA ARSENAL WANA KIBARUA KIZITO ULAYA...NA MAN ...

BIN ZUBEIRY: HAKIKA ARSENAL WANA KIBARUA KIZITO ULAYA...NA MAN ...: IMEWEKWA AGOSTI 30, 2013 SAA 4:37 ASUBUHI MSIMU uliopita walipokutana kwenye Uwanja wa Emirates na wana fainali ya Ligi ya Mabingwa, Okt...

Thursday, August 29, 2013

BIN ZUBEIRY: ARSENAL NA BARCA KATIKA KUNDI LA KIFO LIGI YA MABI...

BIN ZUBEIRY: ARSENAL NA BARCA KATIKA KUNDI LA KIFO LIGI YA MABI...: Na Mwandishi Wetu, IMEWEKWA AGOSTI 30, 2013 SAA 10:00 USIKU MABINGWA mara saba wa Ulaya, AC Milan, waliotolewa na Barcelona katika Ligi y...

BIN ZUBEIRY: ETO'O ATUA KWA 'GOGO' LONDON TAYARI KUKAMILISHA US...

BIN ZUBEIRY: ETO'O ATUA KWA 'GOGO' LONDON TAYARI KUKAMILISHA US...: IMEWEKWA AGOSTI 29, 2013 SAA 12:42 ASUBUHI KLABU ya Chelsea itamsaini Samuel Eto’o kwa Mshahara wa Pauni Milioni 7 kwa mwaka leo Alhamis...

BIN ZUBEIRY: ALHAJ KIBADENI ASALIMU AMRI KWA ALHAJ RAGE, AIREJE...

BIN ZUBEIRY: ALHAJ KIBADENI ASALIMU AMRI KWA ALHAJ RAGE, AIREJE...: Na Prince Akbar, IMEWEKWA AGOSTI 29, 2013 SAA 12:47 ASUBUHI KOCHA Mkuu nwa Simba SC, Alhaj Abdallah Athumani Seif ‘King Kibaden’ amelaini...

BIN ZUBEIRY: NEYMAR ATWAA TAJI LA KWANZA BARCA., MESSI AREJEA U...

BIN ZUBEIRY: NEYMAR ATWAA TAJI LA KWANZA BARCA., MESSI AREJEA U...: IMEWEKWA AGOSTI 29, 2013 SAA 1:00 ASUBUHI NYOTA wa Brazil, Neymar ameshinda taji lake la kwanza Barcelona kufuatia vigogo hao wa Katalun...

Wednesday, August 28, 2013

BIN ZUBEIRY: AZAM YAUA 2-0, YANGA YABANWA 1-1 NA KADI NYEKUNDU ...

BIN ZUBEIRY: AZAM YAUA 2-0, YANGA YABANWA 1-1 NA KADI NYEKUNDU ...: Na Waandishi Wetu, IMEWEKWA AGOSTI 28, 2013 SAA 12:28 JIONI LIGI Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, imeendelea leo katika viwanja tofauti na ma...

BIN ZUBEIRY: HANS POPPE: YANGA WANAMTAFUTIA NGASSA BALAA LA KUO...

BIN ZUBEIRY: HANS POPPE: YANGA WANAMTAFUTIA NGASSA BALAA LA KUO...: Na Mahmoud Zubeiry, Tabora, IMEWEKWA AGOSTI 28, 2013 SAA 8:30 MCHANA MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe ame...

BIN ZUBEIRY: MAJANGA ARSENAL, PODOLSKI NJE WIKI TATU...RAMSEY N...

BIN ZUBEIRY: MAJANGA ARSENAL, PODOLSKI NJE WIKI TATU...RAMSEY N...: IMEWEKWA AGOSTI 28, 2013 SAA 12:56 ASUBUHI MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Lukas Podolski ataukosa mchezo wa Jumapili wa wapinzani wa London Ka...

BIN ZUBEIRY: ETO'O KUTUA CHELSEA NDANI YA SAA 48...MOURINHO ANA...

BIN ZUBEIRY: ETO'O KUTUA CHELSEA NDANI YA SAA 48...MOURINHO ANA...: IMEWEKWA AGOSTI 28, 2013 SAA 1:15 ASUBUHI KLABU ya Chelsea iko katika hatua za mwishoni za kukamilisha usajili wa Samuel Eto'o kutok...

Monday, August 26, 2013

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED NA CHELSEA 0-0, KILA UPANDE WALILIA PEN...

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED NA CHELSEA 0-0, KILA UPANDE WALILIA PEN...: IMEWEKWA AGOSTI 26, 2013 5:58 USIKU KOCHA wa Manchester United, David Moyes amepeleka ujumbe kwa Chelsea kwamba Wayne Rooney hatahami...

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED NA CHELSEA 0-0, KILA UPANDE WALILIA PEN...

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED NA CHELSEA 0-0, KILA UPANDE WALILIA PEN...: IMEWEKWA AGOSTI 26, 2013 5:58 USIKU KOCHA wa Manchester United, David Moyes amepeleka ujumbe kwa Chelsea kwamba Wayne Rooney hatahami...

BIN ZUBEIRY: BENZEMA ANAYEWATOA UDENDA ARSENAL AENDELEA KUNG'AR...

BIN ZUBEIRY: BENZEMA ANAYEWATOA UDENDA ARSENAL AENDELEA KUNG'AR...: IMEWEKWA AGOSTI 27, 2013 SAA 6:47 USIKU MSHAMBULIAJI anayetakiwa na Arsenal, Karim Benzema ameiongoza timu yake kushinda mechi ya pili y...

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED NA CHELSEA 0-0, KILA UPANDE WALILIA PEN...

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED NA CHELSEA 0-0, KILA UPANDE WALILIA PEN...: IMEWEKWA AGOSTI 26, 2013 SAA 5:58 USIKU

BIN ZUBEIRY: KING KIBADEN AFUTA MECHI YA KUWATAMBULISHA WARUNDI...

BIN ZUBEIRY: KING KIBADEN AFUTA MECHI YA KUWATAMBULISHA WARUNDI...: Na Prince Akbar, IMEWEKWA AGOSTI 26, 2013 SAA 1:20 USIKU KOCHA Mkuu wa Simba SC, Abdallah Athumani Seif ‘King Kibaden’ amekataa mechi ya ...

BIN ZUBEIRY: KIPRE TCHETCHE HATARINI KUWAKOSA RHINO JUMATANO......

BIN ZUBEIRY: KIPRE TCHETCHE HATARINI KUWAKOSA RHINO JUMATANO......: Na Mahmoud Zubeiry, Tabora IMEWEKWA AGOSTI 26, 2013 SAA 8:16 MCHANA WAKATI John Raphael Bocco ‘Adebayor’ bado majeruhi, safu ya ushambuli...

BIN ZUBEIRY: WAKALI WA SIMBA SC KUTOKA BURUNDI KUTAMBULISHWA JU...

BIN ZUBEIRY: WAKALI WA SIMBA SC KUTOKA BURUNDI KUTAMBULISHWA JU...: Na Prince Akbar, IMEWEKWA AGOSTI 26, 2013 SAA 8:40 MCHANA BAADA ya kupatiwa Hati za Uhamisho wa Kimataifa (ITC), wachezaji wapya wa Simba ...

BIN ZUBEIRY: MOURINHO AMFUNGULIA 'BAKULI' MOYES...ATAKA KUMTIBU...

BIN ZUBEIRY: MOURINHO AMFUNGULIA 'BAKULI' MOYES...ATAKA KUMTIBU...: IMEWEKWA AGOSTI 26, 2013 SAA 3:07 ASUBUHI KOCHA  Jose Mourinho amemmuambia David Moyes: Sikumvurugia Wayne Rooney, umefanya wewe. Mourin...

BIN ZUBEIRY: BILA MESSI, BARCA YAPATA USHINDI MWEMBAMBA LA LIGA...

BIN ZUBEIRY: BILA MESSI, BARCA YAPATA USHINDI MWEMBAMBA LA LIGA...: IMEWEKWA AGOSTI 26, 2013 SAA 2:22 ASUBUHI KLABU ya Barcelona imepata ushindi mwembamba wa 1-0 dhidi ya Malaga jana na kuendeleza mwanzo ...

Friday, August 16, 2013

BIN ZUBEIRY: CHELSEA KUMSAJILI ETO'O WAKIMKOSA ROONEY

BIN ZUBEIRY: CHELSEA KUMSAJILI ETO'O WAKIMKOSA ROONEY: IMEWEKWA AGOSTI 16, 2013 SAA 7:43 MCHANA KLABU ya Chelsea bado ina dhamira ya kumsajili mshambuliaji wa Anzhi Makhachkala, Samuel Eto&#...

BIN ZUBEIRY: YANGA WAAHIRISHA MKUTANO WA MGOMO AZAM TV

BIN ZUBEIRY: YANGA WAAHIRISHA MKUTANO WA MGOMO AZAM TV: IMEWEKWA AGOSTI 16, 2013 SAA 7:51 MCHANA "Ikumbukwe kuwa hivi karibuni , uongozi wa Yanga uliitisha mkutano Mkuu wa dharura uliok...

BIN ZUBEIRY: MOURINHO APANIA KUFANYA KITU KIMOJA 'BABU KUBWA' C...

BIN ZUBEIRY: MOURINHO APANIA KUFANYA KITU KIMOJA 'BABU KUBWA' C...: IMEWEKWA AGOSTI 16, 2013 SAA 7:55 MCHANA JOSE Mourinho ameapa kurudisha mshikamano Chelsea, baada ya msimu mbovu ambao ulichangiwa na R...

BIN ZUBEIRY: AZZAM WAMFUNIKA VIBAYA TAJIRI ABRAMOVICH, BILIONEA...

BIN ZUBEIRY: AZZAM WAMFUNIKA VIBAYA TAJIRI ABRAMOVICH, BILIONEA...: IMEWEKWA AGOSTI 16, 2013 SAA 11:12 ALFAJIRI ROMAN Abramovich hapendi kushindwa. Kama huamini hilo waulize makocha aliowahi kuwatimua. Ni ...

Thursday, August 15, 2013

BIN ZUBEIRY: KIIZA ATIMKIA LEBANON JUMAPILI, YANGA WATOA BARAKA...

BIN ZUBEIRY: KIIZA ATIMKIA LEBANON JUMAPILI, YANGA WATOA BARAKA...: Na Mahmoud Zubeiry, IMEWEKWA AGOSTI 15, 2013 SAA 6:25 MCHANA MSHAMBULIAJI wa Yanga SC, Mganda Hamisi Friday Kiiza atacheza mechi dhidi ya...

BIN ZUBEIRY: YANGA NA AZAM JUMAMOSI TAIFA VIINGILIO 'VYA KUFA M...

BIN ZUBEIRY: YANGA NA AZAM JUMAMOSI TAIFA VIINGILIO 'VYA KUFA M...: Na Boniface Wambura, IMEWEKWA AGOSTI 15, 2013 SAA 6:34 MCHANA KIINGILIO cha chini katika mchezo wa kuwania Ngao ya Jamii keshokutwa Uwanj...

BIN ZUBEIRY: RAIS KIKWETE AKABIDHIWA JEZI ILE ILE AMBAYO BARCEL...

BIN ZUBEIRY: RAIS KIKWETE AKABIDHIWA JEZI ILE ILE AMBAYO BARCEL...: IMEWEKWA AGOSTI 14, 2013 SAA 10:28 JIONI Zawadi kutoka Camp Nou; Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Kushilla Tho...

Wednesday, August 14, 2013

BIN ZUBEIRY: UCHAGUZI TFF KUFANYIKA OKTOBA 18

BIN ZUBEIRY: UCHAGUZI TFF KUFANYIKA OKTOBA 18: Na Boniface Wambura, IMEWEKWA AGOSTI 14, 2013 SAA 8:10 MCHANA UCHAGUZI wa Kamati ya mpya ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)...

BIN ZUBEIRY: NGASSA HATARINI KUUKOSA MCHEZO WA YANGA NA AZAM JU...

BIN ZUBEIRY: NGASSA HATARINI KUUKOSA MCHEZO WA YANGA NA AZAM JU...: Na Prince Akbar na Boniface Wambura, IMEWEKWA AGOSTI 14, 2013 SAA 8: 22 MCHANA HATIMA ya mshambuliaji Mrisho Khalfan Ngassa kucheza Ligi ...

BIN ZUBEIRY: MCHEZAJI WA TANZANIA ANAVYOTIA HURUMA NA TENGA NDI...

BIN ZUBEIRY: MCHEZAJI WA TANZANIA ANAVYOTIA HURUMA NA TENGA NDI...: IMEWEKWA AGOSTI 14, 2013 SAA 4:03 ASUBUHI MOJA kati ya njia za kuifanya Ligi Kuu ya Tanzania Bara iwe bora ni kuboresha ushindani, kwa kuw...

BIN ZUBEIRY: HOMA YA PAMBANO LA NGAO JUMAMOSI…YANGA WAINGIA KAM...

BIN ZUBEIRY: HOMA YA PAMBANO LA NGAO JUMAMOSI…YANGA WAINGIA KAM...: Na Mahmoud Zubeiry, IMEWEKWA AGOSTI 12, 2013 SAA 5:55 ASUBUHI YANGA SC wameingia kambini makao makuu ya klabu yao, Jangwani, Dar es Salaa...

Tuesday, August 13, 2013

BIN ZUBEIRY: WENGER SASA ATAKA KUMSAJILI MICHU IWAPO ATAMKOSA S...

BIN ZUBEIRY: WENGER SASA ATAKA KUMSAJILI MICHU IWAPO ATAMKOSA S...: IMEWEKWA AGOSTI 14, 2013 SAA 10:49 ALFAJIRI KLABU ya Arsenal imeibuka na mpango B katika msako wake wa mshambuliaji wa kati iwapo itamko...

BIN ZUBEIRY: PROFESA KONDIC AFUNGUKA KUHUSU YANGA, ASEMA MANJI....

BIN ZUBEIRY: PROFESA KONDIC AFUNGUKA KUHUSU YANGA, ASEMA MANJI....: Na Mahmoud Zubeiry, Johannesburg, Afrika Kusini IMEWEKWA AGOSTI 13, 2013 SAA 3:54 ASUBUHI KOCHA wa zamani wa klabu ya Yanga SC ya Dar es ...

BIN ZUBEIRY: KILIMANJARO WAWAPA 'MARAHA' NYOTA SIMBA SC 'KIWANJ...

BIN ZUBEIRY: KILIMANJARO WAWAPA 'MARAHA' NYOTA SIMBA SC 'KIWANJ...: Na Ibrahim Kyaruzi, IMEWEKWA AGOSTI 13, 2013 SAA 3:11 ASUBUHI WADHAMINI wakuu wa klabu ya Simba, Bia ya Kilimanjaro, wanatarajia kufanya ...

Monday, August 12, 2013

BIN ZUBEIRY: TAIFA STARS LA KUVUNDA, AU?

BIN ZUBEIRY: TAIFA STARS LA KUVUNDA, AU?: Na Mahmoud Zubeiry, Soweto, Afrika Kusini IMEWEKWA AGOSTI 13, 2013 SAA 11:46 ALFAJIRI KABLA ya mwaka 2006, hali ilikuwa mbaya juu ya timu...

BIN ZUBEIRY: STEWART AZUNGUMZIA ZIARA YA AFRIKA KUSINI NA KUWEK...

BIN ZUBEIRY: STEWART AZUNGUMZIA ZIARA YA AFRIKA KUSINI NA KUWEK...: Na Mahmoud Zubeiry, Soweto, Afrika Kusini IMEWEKWA AGOSTI 13, 2013 SAA 11:48 ALFAJIRI AZAM FC jana ilihitimisha ziara yake ya Afrika Kusi...

BIN ZUBEIRY: AZAM YAMALIZA ZIARA KWA KIPIGO AFRIKA KUSINI

BIN ZUBEIRY: AZAM YAMALIZA ZIARA KWA KIPIGO AFRIKA KUSINI: Na Mahmoud Zubeiry, Soweto, Afrika Kusini IMEWEKWA AGOSTI 12, 2013 SAA 7:13 MCHANA AZAM FC leo imehitimisha ziara yake ya Afrika Kusini k...

BIN ZUBEIRY: KAMA TUNATAKA MAFANIKIO TAIFA STARS, KAULI YA STEW...

BIN ZUBEIRY: KAMA TUNATAKA MAFANIKIO TAIFA STARS, KAULI YA STEW...: IMEWEKWA AGOSTI 12, 2013 SAA 1:11 ASUBUHI  KATIKATI ya wiki iliyopita, kocha wa klabu ya Azam FC, Stewart John Hall, alikaririwa akieleza ...

BIN ZUBEIRY: BOOM FC WAMPA ASANTE YAKE DK DAU NA NSSF

BIN ZUBEIRY: BOOM FC WAMPA ASANTE YAKE DK DAU NA NSSF: Na Mohamed Mharizo, IMEWEKWA AGOSTI 12, 2013 SAA 1:14 ASUBUHI UONGOZI wa Boom FC umelishukuru Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF)...

BIN ZUBEIRY: NGASSA AENDELEA KUSOTEA JEZI YANGA SC, SASA AHAMIA...

BIN ZUBEIRY: NGASSA AENDELEA KUSOTEA JEZI YANGA SC, SASA AHAMIA...: Na Prince Akbar, IMEWEKWA AGOSTI 12, 2013 SAA 1:18 ASUBUHI MRISHO Khalfan Ngassa ameendelea kusotea jezi ya kuvaa katika klabu yake mpya,...

BIN ZUBEIRY: ARSENAL WANAVYOMTIA 'QIBLI' SUAREZ, AGOMA KUOMBA R...

BIN ZUBEIRY: ARSENAL WANAVYOMTIA 'QIBLI' SUAREZ, AGOMA KUOMBA R...: IMEWEKWA AGOSTI 12, 2013 SAA 1:28 ASUBUHI UHUSIANO wa  Luis Suarez na Liverpool utaingia katika hatua nyingine wiki hii, baada ya mshambul...

Sunday, August 11, 2013

BIN ZUBEIRY: VAN PERSIE AIPIGIA MABAO YOTE MAN UNITED IKITWAA N...

BIN ZUBEIRY: VAN PERSIE AIPIGIA MABAO YOTE MAN UNITED IKITWAA N...: IMEWEKWA AGOSTI 11, 2013 SAA 12:07 JIONI MABAO mawili ya Mdachi, Robin Van Persie yameiwezesha Manchester United kuilaza 2-0 Wigan kweny...

BIN ZUBEIRY: CHELSEA YAILAZA 2-1 ROMA, LUKAKU AZIDI KUMPA RAHA ...

BIN ZUBEIRY: CHELSEA YAILAZA 2-1 ROMA, LUKAKU AZIDI KUMPA RAHA ...: IMEWEKWA AGOSTI 11, 2013 SAA 1:11 USIKU MABAO ya Romelu Lukaku na kiungo mkongwe, Frank Lampard yameipa Chelsea ushindi wa 2-1 dhidi ya ...

BIN ZUBEIRY: YANGA SC ILIVYOIFANYA KITU MBAYA SC VILLA LEO TAIF...

BIN ZUBEIRY: YANGA SC ILIVYOIFANYA KITU MBAYA SC VILLA LEO TAIF...: IMEWEKWA AGOSTI 11, 2013 SAA 1:46 USIKU Watoto wa Mwanza; Mrisho Ngassa kulia akielekea kushangilia na Jerry Tegete kushoto baada ya k...

BIN ZUBEIRY: RONALDO KAMA ANARUDI MAN UNITED HIVI...SASA JEZI N...

BIN ZUBEIRY: RONALDO KAMA ANARUDI MAN UNITED HIVI...SASA JEZI N...: IMEWEKWA AGOSTI 11, 2013 SAA 2:08 USIKU MANCHESTER United imeweka jezi namba saba maalum kwa ajili ya Cristiano Ronaldo atakaporejea Old ...

Saturday, August 10, 2013

BIN ZUBEIRY: MANJI AWAAMBIE WANA YANGA NA SUALA LA UJENZI WA U...

BIN ZUBEIRY: MANJI AWAAMBIE WANA YANGA NA SUALA LA UJENZI WA U...: IMEWEKWA AGOSTI 11, 2013 SAA 1, 30 ASUBUHI KWA kutumia mamlaka yake Kikatiba, Mwenyekiti wa klabu ya Yanga SC, Alhaj Yussuf Mehboob Manji ...

BIN ZUBEIRY: ROONEY NJE KIKOSI CHA MAN UNITED NGAO YA JAMII LEO...

BIN ZUBEIRY: ROONEY NJE KIKOSI CHA MAN UNITED NGAO YA JAMII LEO...: IMEWEKWA AGOSTI 11, 2013 SAA 1:41 ASUBUHUI MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Wayne Rooney ameenguliwa kwenye kikosi kitakachomenyana na...

BIN ZUBEIRY: ARSENAL YAIKUNG'UTA MAN CITY 3-0 LEO

BIN ZUBEIRY: ARSENAL YAIKUNG'UTA MAN CITY 3-0 LEO: IMEWEKWA AGOSTI 10, 2013 SAA 3:01 USIKU USHINDI wa mabao 3-1 ambao Arsenal imeupata leo kwenye Uwanja wa Olimpiki mjini Helsinki dhidi y...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC ILIVYOONYESHA LEO KWAMBA IKO TAYARI KUBEB...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC ILIVYOONYESHA LEO KWAMBA IKO TAYARI KUBEB...: IMEWEKWA AGOSTI 10, 2013 SAA 3:26 USIKU Kiungo wa Simba SC, Amei Kiemba akikokota mpira dhidi ya mchezaji wa SC Villa ya Uganda katika...

BIN ZUBEIRY: CELTIC WAMFUATA KIPRE TCHETCHE JOHANNESBURG, AZUNG...

BIN ZUBEIRY: CELTIC WAMFUATA KIPRE TCHETCHE JOHANNESBURG, AZUNG...: Na Mahmoud Zubeiry, Johannesburg, Afrika Kusini IMEWEKWA AGOSTI 10, 2013 SAA 4:40 ASUBUHI  MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Kipre Herman Tchetche...

BIN ZUBEIRY: SABABU TOSHA KWA NINI YANGA SC WANAPASWA KUUKUBALI...

BIN ZUBEIRY: SABABU TOSHA KWA NINI YANGA SC WANAPASWA KUUKUBALI...: Na Celestine Mwesigwa,  IMEWEKWA AGOSTI 10,2013  SAA 5,10 ASUBUHI SIKUTAKA kukurupuka kutoa maoni yangu kuhusiana na sakata la Aza...

BIN ZUBEIRY: MOYES SASA AHAMISHIA MAWINDO KWA LUKA MODRIC BAADA...

BIN ZUBEIRY: MOYES SASA AHAMISHIA MAWINDO KWA LUKA MODRIC BAADA...: IMEWEKWA AGOSTI 10, 2013 SAA 11:10 JIONI KOCHA David Moyes sasa amehamishia mawindo yake kwa Luka Modric baada ya kukwama kumsajili kiun...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC YAUA 4-1 TAIFA, STRAIKA WA MAREKANI AZIDI...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC YAUA 4-1 TAIFA, STRAIKA WA MAREKANI AZIDI...: Na Saada Akida,  IMEWEKWA AGOSTI 10, 2013 SAA 11:48 JIONI SIMBA SC imeshinda mabao 4-1 dhidi ya SC Villa ya Uganda jioni hii Uwanja wa Tai...

BIN ZUBEIRY: MIYEYUSHO AMYEYUSHA MZAMBIA BAADA YA RAUNDI NANE T...

BIN ZUBEIRY: MIYEYUSHO AMYEYUSHA MZAMBIA BAADA YA RAUNDI NANE T...: IMEWEKWA AGOSTI 10, 2013 SAA 2:00 asubuhi Bondia Mtanzania Francis Miyeyusho kulia  akipambana na Fidelis Lupupa wa Zambia wakati wa  ...

BIN ZUBEIRY: YANGA KUWENI WAPOLE, KAENI CHINI NA TFF NA AZAM TV...

BIN ZUBEIRY: YANGA KUWENI WAPOLE, KAENI CHINI NA TFF NA AZAM TV...: IMEWEKWA AGOSTI 10, 2013 SAA 3:20 ASUBUHI KUNA mvutano uliopo kati Yanga na TFF kuhusu haki ya matangazo ya TV, ambapo TFF wameingia mkata...

BIN ZUBEIRY: BARCA BADO WANAYE TU DAVID LUIZ LICHA YA KUTIMULIW...

BIN ZUBEIRY: BARCA BADO WANAYE TU DAVID LUIZ LICHA YA KUTIMULIW...: IMEWEKWA AGOSTI 10, 2013 SAA 3:32 ASUBUHI KLABU ya Barcelona inataraji David Luiz kuiambia Chelsea Jumatatu kwamba anataka kuondoka kuji...

BIN ZUBEIRY: BALOTELLI SASA AAMUA KUISHI NA 'MAGURUWE', AONGEZA...

BIN ZUBEIRY: BALOTELLI SASA AAMUA KUISHI NA 'MAGURUWE', AONGEZA...: IMEWEKWA AGOSTI 10, 2013 SAA 3:50 ASUBUHI MSHAMBULIAJI wa zamani wa Manchester City, Mario Balotelli sasa amefungua 'ghala' la k...

Friday, August 9, 2013

BIN ZUBEIRY: ARSENAL YAPANGIWA KIGONGO LIGI YA MABINGWA, YAPEWA...

BIN ZUBEIRY: ARSENAL YAPANGIWA KIGONGO LIGI YA MABINGWA, YAPEWA...: IMEWEKWA AGOSTI 9, 2013 SAA 11:36 JIONI KLABU ya Arsenal imepangiwa mchezo mgumu wa kuwania kucheza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa...

BIN ZUBEIRY: KUMEKUCHA SIMBA SC KESHO TAIFA, SIMBA KWELI HAWEZI...

BIN ZUBEIRY: KUMEKUCHA SIMBA SC KESHO TAIFA, SIMBA KWELI HAWEZI...: Na Ezekiel Kamwaga, IMEWEKWA AGOSTI 9, 2013 SAA 12:20 JIONI SIMBA SC kesho inatarajiwa kuazimisha kile kinachoitwa Siku ya Simba (SIMBA D...

BIN ZUBEIRY: SPURS YASAINI KIUNGO LA KIMATAIFA LA UFARANSA

BIN ZUBEIRY: SPURS YASAINI KIUNGO LA KIMATAIFA LA UFARANSA: IMEWEKWA AGOSTI 9, 2013 SAA 4:15 USIKU KLABU ya Tottenham imekamilisha uhamisho wa kiungo wa Toulouse, Etienne Capoue wa Pauni Milioni 8...

BIN ZUBEIRY: WENGER: VYOVYOTE ASEMAVYO HENRY, LAKINI SIJAKATA T...

BIN ZUBEIRY: WENGER: VYOVYOTE ASEMAVYO HENRY, LAKINI SIJAKATA T...: IMEWEKWA AGOSTI 9, 2013 SAA 4:43 USIKU KOCHA Arsene Wenger amesema kwamba hajakata tamaa ya kumsaini Luis Suarez licha ya mmiliki wa Liv...

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED YAFUMULIWA 3-1 NA SEVILLA, MOYES MIKOSI...

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED YAFUMULIWA 3-1 NA SEVILLA, MOYES MIKOSI...: IMEWEKWA AGOSTI 9, 2013 SAA 6:11 USIKU MAMBO yameendelea kuwa magumu katika hatua za mwanzoni kwa kocha David Moyes, baada ya leo Manche...

Thursday, August 8, 2013

BIN ZUBEIRY: JEZI MPYA ZA TIMU ZOTE LIGI KUU ENGLAND HIZI HAPA....

BIN ZUBEIRY: JEZI MPYA ZA TIMU ZOTE LIGI KUU ENGLAND HIZI HAPA....: IMEWEKWA AGOSTI 9, 2013 SAA 2:25 ASUBUHI WAKATI Ligi Kuu ya England inatarajiwa kuanza wiki ijayo, BIN ZUBEIRY inakueletea jezi za timu z...

BIN ZUBEIRY: JAVU AZIDI KUTISHA KWA MABAO YANGA, AWAPA RAHA WAN...

BIN ZUBEIRY: JAVU AZIDI KUTISHA KWA MABAO YANGA, AWAPA RAHA WAN...: Na Baraka Kizuguto, IMEWEKWA AGOSTI 8, 2013 SAA 11:50 JIONI MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga SC, Hussein Javu leo amefunga bao lake la pili ...

BIN ZUBEIRY: BARCELONA SASA WAMTAKA AGGER BAADA YA KUTIMULIWA C...

BIN ZUBEIRY: BARCELONA SASA WAMTAKA AGGER BAADA YA KUTIMULIWA C...: IMEWEKWA AGOSTI 8, 2013 SAA 7:48 MCHANA KLABU ya Barcelona haijapoteza muda katika kuwania saini ya Daniel Agger, baada ya kuonywa kuhus...

BIN ZUBEIRY: SURE BOY, KIPRE TCHETCHE NA BOCCO WAMTOA UDENDA MO...

BIN ZUBEIRY: SURE BOY, KIPRE TCHETCHE NA BOCCO WAMTOA UDENDA MO...: Na Mahmoud Zubeiry, Johannesburg, Afrika Kusini   IMEWEKWA AGOSTI 8, 2013 SAA 7:25 MCHANA MSAKA vipaji Mkuu wa klabu ya Mamelodi Sundwo...

BIN ZUBEIRY: REAL MADRID YAIFUMUA CHELSEA 3-1, RONALDO AMTWANGA...

BIN ZUBEIRY: REAL MADRID YAIFUMUA CHELSEA 3-1, RONALDO AMTWANGA...: IMEWEKWA AGOSTI 8, 2013 SAA 1:57 ASUBUHI KIUNGO Frank Lampard alicheza kwa mara ya kwanza majira haya ya joto, lakini alishindwa kumzuia...

Wednesday, August 7, 2013

BIN ZUBEIRY: AZAM FC ILIVYOICHAPA KIDUDE MAMELODI LEO AFRIKA KU...

BIN ZUBEIRY: AZAM FC ILIVYOICHAPA KIDUDE MAMELODI LEO AFRIKA KU...: IMEWEKWA AGOSTI 7, 2013 SAA 3:09 USIKU Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar akimtoka beki wa Mamelodi Sundwon katika mchezo wa kirafiki l...

BIN ZUBEIRY: MUUWAJI MPYA WA COASTAL APOKEWA KIFALME TANGA

BIN ZUBEIRY: MUUWAJI MPYA WA COASTAL APOKEWA KIFALME TANGA: Na Oscar Asenga, Tanga, IMEWEKWA AGOSTI 7, 2013 SAA 2:53 USIKU MAPOKEZI wa Mshambuliaji Mpya wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga aliyeto...

BIN ZUBEIRY: AZAM FC YAIFUMUA 1-0 BARAZANI KWAKE MAMELODI SUNDW...

BIN ZUBEIRY: AZAM FC YAIFUMUA 1-0 BARAZANI KWAKE MAMELODI SUNDW...: Na Mahmoud Zubeiry, Johannesburg, Afrika Kusini IMEWEKWA AGOSTI 7, 2013 SAA 1:30 USIKU BAO pekee la Gaudence Exavery Mwaikimba jioni ya l...

BIN ZUBEIRY: WENGER ASEMA ARSENAL WAPO MKAO WA KULA KWA SUAREZ....

BIN ZUBEIRY: WENGER ASEMA ARSENAL WAPO MKAO WA KULA KWA SUAREZ....: IMEWEKWA AGOSTI 7, 2013 SAA 2:42 USIKU KLABU ya Arsenal ipo katika mbio za kupambana na muda kumsajili Luis Suarez kuelekea mchezo wao w...

BIN ZUBEIRY: MUUWAJI MPYA WA COASTAL APOKEWA KIFALME TANGA

BIN ZUBEIRY: MUUWAJI MPYA WA COASTAL APOKEWA KIFALME TANGA: Na Oscar Asenga, Tanga, IMEWEKWA AGOSTI 7, 2013 SAA 2:53 USIKU MAPOKEZI wa Mshambuliaji Mpya wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga aliyeto...

BIN ZUBEIRY: ROONEY NAYE AWAWAKIA MAN UNITED, ASEMA WAKIBANA CH...

BIN ZUBEIRY: ROONEY NAYE AWAWAKIA MAN UNITED, ASEMA WAKIBANA CH...: IMEWEKWA AGOSTI 7, 2013 SAA 1:24 ASUBUHI MSHAMBULIAJI Wayne Rooney ataangalia uwezekano wa kuhamia nje ya England, iwapo hatafanikiwa ku...

BIN ZUBEIRY: MANJI AITISHA MKUTANO MKUU GHAFLA YANGA KUIJADILI ...

BIN ZUBEIRY: MANJI AITISHA MKUTANO MKUU GHAFLA YANGA KUIJADILI ...: IMEWEKWA AGOSTI 7, 2013 SAA 5:46 ASUBUHI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. 1.   Hivi karibuni tumepata uhakika kuwa Tanzania Premier Leagu...
tukutane michezoni

Tuesday, August 6, 2013

BIN ZUBEIRY: SIMBA NA YANGA ZOTE ZATUMA JINA LA NGASSA USAJILI ...

BIN ZUBEIRY: SIMBA NA YANGA ZOTE ZATUMA JINA LA NGASSA USAJILI ...: Na Boniface Wambura na Prince Akbar, IMEWEKWA AGOSTI 6, 2013 SAA 6:00 MCHANA HATUA ya kwanza ya usajili wa wachezaji kwa msimu wa 2013/201...

BIN ZUBEIRY: AZAM FC WAKIJIFUA LEO VIWANJA VYA CHUO KIKUU CHA W...

BIN ZUBEIRY: AZAM FC WAKIJIFUA LEO VIWANJA VYA CHUO KIKUU CHA W...: IMEWEKWA AGOSTI 6, 2013 SAA 6:54 MCHANA Kocha wa mazoezi ya viungo wa Azam FC, Mkenya Ibrahim Shikanda akiwapa mazoezi wachezaji wake ...

Monday, August 5, 2013

BIN ZUBEIRY: SOLDADO AKAMILISHA USAJILI WA REKODI SPURS

BIN ZUBEIRY: SOLDADO AKAMILISHA USAJILI WA REKODI SPURS: IMEWEKWA AGOSTI 5, 2013 SAA 4:11 USIKU KLABU ya Tottenham imekamilisha usajili wa rekodi wa Roberto Soldado kutoka Valencia baada ya mch...

BIN ZUBEIRY: AZAM FC KAMBINI TOWERS HOTEL, STEWART NI FULL MIPA...

BIN ZUBEIRY: AZAM FC KAMBINI TOWERS HOTEL, STEWART NI FULL MIPA...: IMEWEKWA AGOSTI 5, 2013 SAA 3:50 USIKU Kocha Mkuu wa Azam FC, Muingereza, Stewart Hall (kushoto) akielekezana mambo ya kitaalamu na Mu...

BIN ZUBEIRY: BUSARA ITUMIKE KUINUSURU BAZA KWA MANUFAA YA MPIRA...

BIN ZUBEIRY: BUSARA ITUMIKE KUINUSURU BAZA KWA MANUFAA YA MPIRA...: IMEWEKWA AGOSTI 5, 2013 SAA 9:55 ALASIRI TANGU kumalizika kwa mashindano ya mpira wa kikapu maarufu kwa jina la ‘Thabit Kombo Cup’ yanayof...

BIN ZUBEIRY: MPINZANI WA CHEKA AWASILI

BIN ZUBEIRY: MPINZANI WA CHEKA AWASILI: Na Majuto Omary, IMEWEKWA AGOSTI 5, 2013 SAA 10: 04 JIONI BONDIA nyota wa ngumi za kulipwa wa Malawi, Chimwemwe Chiotcha amewasili nchini...

BIN ZUBEIRY: TENGA AMSHUKURU MSAJILI KWA KUSAJILI KATIBA YA TFF...

BIN ZUBEIRY: TENGA AMSHUKURU MSAJILI KWA KUSAJILI KATIBA YA TFF...: Na Boniface Wambura, IMEWEKWA AGOSTI 5, 2013 SAA 10:11 JIONI Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga amemshuk...

BIN ZUBEIRY: AZAM YAPIGWA 3-0 NA KAIZER CHIEFS

BIN ZUBEIRY: AZAM YAPIGWA 3-0 NA KAIZER CHIEFS: Na Mahmoud Zubeiry, Johannesburg, Afrika Kusini IMEWEKWA AGOSTI 5, 2013 SAA 10: 20 JIONI AZAM FC imeanza vibaya ziara yake ya mechi za ku...

Sunday, August 4, 2013

BIN ZUBEIRY: DROGBA AWATUNGUA MARA MBILI ARSENAL NA KUIPA GALAT...

BIN ZUBEIRY: DROGBA AWATUNGUA MARA MBILI ARSENAL NA KUIPA GALAT...: IMEWEKWA AGOSTI 4, 2013 SAA 4:35 USIKU MSHAMBULIAJI Didier Drogba ameendelea kuwa mwiba kwa Arsenal akikumbushia enzi zake alipokuwa na ...

BIN ZUBEIRY: AZAM FC WASHUKA DIMBANI LEO AFRIKA KUSINI KUMENYAN...

BIN ZUBEIRY: AZAM FC WASHUKA DIMBANI LEO AFRIKA KUSINI KUMENYAN...: Na Mahmoud Zubeiry, IMEWEKWA AGOSTI 5, 2013 SAA 7:22 USIKU AZAM FC leo inatarajiwa kushuka dimbani kwenye Uwanja wa Soccer City, unaoju...

BIN ZUBEIRY: AZAM HAWAJANIACHA, NIMEWAACHA WAO, ASEMA ABDI KASS...

BIN ZUBEIRY: AZAM HAWAJANIACHA, NIMEWAACHA WAO, ASEMA ABDI KASS...: Na Prince Akbar, IMEWEKWA AGOSTI 4, 2013 SAA 12: 26 JIONI KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania, Abdi Kassim Sadallah, maarufu kama Babi au Bal...

BIN ZUBEIRY: YANGA SC YAANZA KUTISHA, YAIFUMUA MTIBWA SUGAR 3-1...

BIN ZUBEIRY: YANGA SC YAANZA KUTISHA, YAIFUMUA MTIBWA SUGAR 3-1...: Na Ezekiel Tendwa, IMEWEKWA AGOSTI 4, 2013 SAA 12: 05 JIONI BAADA ya jana Simba SC kulazimishwa sare ya kufungana 1-1 na kombaini ya Poli...

BIN ZUBEIRY: MICHAEL WAMBURA NA SABABU ZA KUUNGA MKONO UAMUZI W...

BIN ZUBEIRY: MICHAEL WAMBURA NA SABABU ZA KUUNGA MKONO UAMUZI W...: " Katiba ya TFF ya 2012 ilifutwa na msajIli wa vyama vya michezo na vilabu kwa kuwa ilibadilishwa kinyume cha sheria(BMT)   pamoja na...

BIN ZUBEIRY: MSIMAMO WA KLABU 13 LIGI KUU KUHUSU AZAM TV, YANGA...

BIN ZUBEIRY: MSIMAMO WA KLABU 13 LIGI KUU KUHUSU AZAM TV, YANGA...: IMEWEKWA AGOSTI 4, 2013 SAA 7:44 MCHANA "KATIKA siku za karibuni, kumekuwapo na mjadala kuhusiana na hatua ya klabu ya Yanga kupinga ...

BIN ZUBEIRY: MTU HAJUI HATA KUANDIKA JINA LAKE TU, LAKINI ANAPI...

BIN ZUBEIRY: MTU HAJUI HATA KUANDIKA JINA LAKE TU, LAKINI ANAPI...: IMEWEKWA AGOSTI 4, 2013 SAA 1:58 ASUBUHI UKISTAAJABU ya Mussa, utaona ya Firauni. Naama sadakta, hakika aliyeleta usemi huu hakuwa mbali n...

BIN ZUBEIRY: CHELSEA WAZIDI KUMPANDIA DAU ROONEY...WAWEKA MEZAN...

BIN ZUBEIRY: CHELSEA WAZIDI KUMPANDIA DAU ROONEY...WAWEKA MEZAN...: IMEWEKWA AGOSTI 4, 2013 SAA 2:15 ASUBUHI KLABU ya Chelsea inajiandaa kupeleka ofa ya pili ya Pauni Milioni 40 kwa ajili ya mchezaji wa M...

Saturday, August 3, 2013

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC ILIVYOSHIKWA NA MAAFANDE WA POLISI NCHI N...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC ILIVYOSHIKWA NA MAAFANDE WA POLISI NCHI N...: IMEWEKWA AGOSTI 3, 2013 SAA 5: 18 USIKU Mshambuliaji mpya wa Simba SC, Betram Mombeki aliyekuwa Marekani, akimtoka beki wa kombaini ya...

BIN ZUBEIRY: LIVERPOOL YAUA 2-0 KATIKA MCHEZO WA KUMUAGA STEVEN...

BIN ZUBEIRY: LIVERPOOL YAUA 2-0 KATIKA MCHEZO WA KUMUAGA STEVEN...: IMEWEKWA AGOSTI 4, 2013 SAA 11:23 ALFAJIRI LIVERPOOL imeshinda 2-0 dhidi ya Olympiakos ya Ugiriki katika mchezo maalum wa kumuaga Nahodh...

BIN ZUBEIRY: ROONEY AREJEA KIKOSINI MAN UNITED NA KUIWEZESHA TI...

BIN ZUBEIRY: ROONEY AREJEA KIKOSINI MAN UNITED NA KUIWEZESHA TI...: IMEWEKWA AGOSTI 4, 2013 SAA 11:35 ALFAJIRI WACHEZAJI Wayne Rooney, Nani, Nemanja Vidic na Javier Hernandez wote walianza kikosini Manche...

BIN ZUBEIRY: KIIZA 'LIVE BILA CHENGA' AKIJITIA KITANZI JANGWANI...

BIN ZUBEIRY: KIIZA 'LIVE BILA CHENGA' AKIJITIA KITANZI JANGWANI...: IMEWEKWA AGOSTI 3, 2013 SAA 4: 59 USIKU Mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Hamisi Kiiza kulia akisaini Mkataba wa kuendelea kuicheze...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC YALAZIMISHWA SARE NA POLISI, STRAIKA WA M...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC YALAZIMISHWA SARE NA POLISI, STRAIKA WA M...: Na Mahmoud Zubeiry, IMEWEKWA AGOSTI 3, 2013 SAA 12:29 JIONI SIMBA SC imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Kombaini ya Polisi jioni ...

BIN ZUBEIRY: SAMATTA APIGA BAO LEO MAZEMBE IKIUA 3-0 AFRIKA

BIN ZUBEIRY: SAMATTA APIGA BAO LEO MAZEMBE IKIUA 3-0 AFRIKA: Na Prince Akbar, IMEWEKWA AGOSTI 3, 2013 SAA 4:00 USIKU MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta ameendelea kung’ara ka...

BIN ZUBEIRY: REAL MADRID YAIPIGA BAO LA UBWETE BARCA...SOMA HII...

BIN ZUBEIRY: REAL MADRID YAIPIGA BAO LA UBWETE BARCA...SOMA HII...: IMEWEKWA AGOSTI 3, 2013 SAA 10:07 JIONI KLABU ya Real Madrid imewapiga bao wapinzani wao, Barcelona katika harakati za kumgombea kinda mw...

BIN ZUBEIRY: OLOYA: SIJAAMUA NIENDE YANGA AU SIMBA, ILA WOTE WA...

BIN ZUBEIRY: OLOYA: SIJAAMUA NIENDE YANGA AU SIMBA, ILA WOTE WA...: Na Frank Sanga, IMEWEKWA AGOSTI 3, 2013 SAA 1:37 MCHANA MCHEZAJI wa Xi Mang Saigon ya Vietnam, Moses Oloya amekiri kupokea tiketi ya ndeg...

BIN ZUBEIRY: AZAM HAOOO, WAPAAA SAUZI KWENDA KUKUSANYA NGUVU ZA...

BIN ZUBEIRY: AZAM HAOOO, WAPAAA SAUZI KWENDA KUKUSANYA NGUVU ZA...: Na Mahmoud Zubeiry, IMEWEKWA AGOSTI 3, 2013 SAA 7:19 MCHANA AZAM FC imeondoka mchana huu kwa ndege ya Shirika la Afrika Kusini, kwenda Jo...

BIN ZUBEIRY: BEKI BORA AFRIKA MASHARIKI NA KATI AKIMWAGA WINO S...

BIN ZUBEIRY: BEKI BORA AFRIKA MASHARIKI NA KATI AKIMWAGA WINO S...: IMEWEKWA AGOSTI 3, 2013 SAA 7:49 MCHANA Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Joseph Itang'are 'Kinesi' kulia akimkabidhi j...

BIN ZUBEIRY: BARCA YAUA 8-0, FABREGAS AFUNGA MBILI, NEYMAR NA M...

BIN ZUBEIRY: BARCA YAUA 8-0, FABREGAS AFUNGA MBILI, NEYMAR NA M...: IMEWEKWA AGOSTI 3, 2013 SAA 3:22 ASUBUHI KLABU ya Barcelona imeifumua mabao 8-0 Santos kwenye Uwanja wa Nou Camp na kutwaa taji la Joan ...

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED CHALI MBAYA, KOCHA MPYA BARCA, TATA MAR...

BIN ZUBEIRY: MAN UNITED CHALI MBAYA, KOCHA MPYA BARCA, TATA MAR...: IMEWEKWA AGOSTI 3, 2013 SAA 3:43 ASUBUHI KOCHA wa Barcelona, Tata Martino amepeleka pigo lingine Manchester United kuwakatisha tamaa kab...

Friday, August 2, 2013

BIN ZUBEIRY: HATIMAYE KIIZA ASAINI YANGA, JESHI LAHAMISHIA NGUV...

BIN ZUBEIRY: HATIMAYE KIIZA ASAINI YANGA, JESHI LAHAMISHIA NGUV...: Na Mahmoud Zubeiry, IMEWEKWA AGOSTI 2, 2013 SAA 5:12 USIKU HATIMAYE mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Hamisi Friday Kiiza ‘Diego’ ames...

BIN ZUBEIRY: NGUVU HII TUIHAMISHIE KWENYE MATUMIZI YA NEMBO, HU...

BIN ZUBEIRY: NGUVU HII TUIHAMISHIE KWENYE MATUMIZI YA NEMBO, HU...: IMEWEKWA AGOSTI 3, 2013 SAA 3:07 ASUBUHI  KLABU za Yanga na Simba ni tajiri mno katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati, kwani zina ...

BIN ZUBEIRY: MSIBA COASTAL UNION, IDRISA NGULUNGU AFARIKI DUNIA...

BIN ZUBEIRY: MSIBA COASTAL UNION, IDRISA NGULUNGU AFARIKI DUNIA...: Na Saidy Mdoe, IMEWEKWA AGOSTI 2, 2013 SAA 12:49 JIONI MCHEZAJI wa zamani wa Coastal Union ya Tanga, Idrisa Ngulungu amefariki dunia mape...

BIN ZUBEIRY: KIIZA AREJEA DAR LEO KWA MARA YA TANO KWA AJILI YA...

BIN ZUBEIRY: KIIZA AREJEA DAR LEO KWA MARA YA TANO KWA AJILI YA...: Na Mahmoud Zubeiry, IMEWEKWA AGOSTI 2, 2013 SAA 2:38 USIKU HII sasa inaweza kuwa sehemu ya mwsiho ya filamu ya Yanga SC na Hamisi Friday ...

BIN ZUBEIRY: MKALI WA MABAO UFARANSA ATUA NEWCASTLE

BIN ZUBEIRY: MKALI WA MABAO UFARANSA ATUA NEWCASTLE: IMEWEKWA AGOSTI 2, 2013 SAA 12:55 JIONI KLABU ya Newcastle inajiandaa kukamilisha usajili wao wa kwanza mwishoni mwa dirisha baada ya ku...

BIN ZUBEIRY: SCHMEICHEL AMPIGIA KING'ORA IBRAHIMOVIC MAN UNITED...

BIN ZUBEIRY: SCHMEICHEL AMPIGIA KING'ORA IBRAHIMOVIC MAN UNITED...: IMEWEKWA AGOSTI 2, 2013 SAA 1:10 JIONI KIPA wa zamani na gwiji wa klabu ya Manchester United, Peter Schmeichel anaamini Zlatan Ibrahimov...

BIN ZUBEIRY: TFF YAANZA KUUYUMBISHA USAJILI WA WACHEZAJI LIGI K...

BIN ZUBEIRY: TFF YAANZA KUUYUMBISHA USAJILI WA WACHEZAJI LIGI K...: Na Boniface Wambura, IMEWEKWA AGOSTI 2, 2013 SAA 8:43 MCHANA USAJILI wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa...

BIN ZUBEIRY: HANS POPPE AWASUTA YANGA MCHANA KWEUPEEE KUHUSU OL...

BIN ZUBEIRY: HANS POPPE AWASUTA YANGA MCHANA KWEUPEEE KUHUSU OL...: Na Mahmoud Zubeiry, IMEWEKWA AGOSTI 2, 2013 SAA 4:30 ASUBUHI MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe amesema kwa...

BIN ZUBEIRY: UKIPAGAWA NA NGASSA KWA MUNTARI NDIO UTADATA KABIS...

BIN ZUBEIRY: UKIPAGAWA NA NGASSA KWA MUNTARI NDIO UTADATA KABIS...: IMEWEKWA AGOSTI 2, 2013 SAA 2:07 ASUBUHI JANA tulisoma kuhusu mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Ngassa anavyojiandaa kwa mais...

Thursday, August 1, 2013

BIN ZUBEIRY: OWINO AKIMWAGA WINO 'LIVE' SIMBA NA KUSHIKISHWA UZ...

BIN ZUBEIRY: OWINO AKIMWAGA WINO 'LIVE' SIMBA NA KUSHIKISHWA UZ...: IMEWEKWA AGOSTI 1, 2013 SAA 8:40 MCHANA Beki wa kimataifa wa Uganda, Joseph Owino (katikati) akikabidhiwa jezi ya Simba SC leo baada y...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC YASAINI WAWILI WENGINE LEO, NI HUMUD GAUC...

BIN ZUBEIRY: SIMBA SC YASAINI WAWILI WENGINE LEO, NI HUMUD GAUC...: IMEWEKWA AGOSTI 1, 2013 SAA 1:10 USIKU Kiungo Abdulhalim Humud 'Gaucho'(katikati) akisaini Mkataba wa miaka miwili kuichezea S...

BIN ZUBEIRY: BEKI BORA AFRIKA MASHARIKI NA KATI ATUA SIMBA SC U...

BIN ZUBEIRY: BEKI BORA AFRIKA MASHARIKI NA KATI ATUA SIMBA SC U...: Na Mahmoud Zubeiry, IMEWEKWA AGOSTI 1, 2013 SAA 4:23 USIKU BEKI bora wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagam...

BIN ZUBEIRY: BAYERN MUNICH WAIFUMUA MAN CITY 2-1 FAINALI KOMBE ...

BIN ZUBEIRY: BAYERN MUNICH WAIFUMUA MAN CITY 2-1 FAINALI KOMBE ...: IMEWEKWA AGOSTI 2, 2013 SAA 1:19 ASUBUHI MSHAMBULIAJI Edinson Cavani anaweza kuwa mchezaji aliyekuwa akitakia mno Manchester City, lakin...

BIN ZUBEIRY: LIVERPOOL KUSAJILI STRAIKA BABU KUBWA NA BADO YASI...

BIN ZUBEIRY: LIVERPOOL KUSAJILI STRAIKA BABU KUBWA NA BADO YASI...: IMEWEKWA AGOSTI 2, 2013 SAA 1:47 ASUBUHI KLABU ya Liverpool imeanza harakati za kumsajili mshambuliaji wa Atletico Madrid, Diego Costa m...

Friday, June 28, 2013

Hispania yaing'oa Italia kwa penati 7-6

HISPANIA WAING'OA ITALIA KWA MATUTA KOMBE LA MABARA, FAINALI NA BRAZIL MARACANA...NI BALAA

IMEWEKWA JUNI 28, 2013 SAA 10:23 USIKU
HISPANIA imeitoa Italia katika Kombe la Mabara kwa ushindi wa matuta wa 7-6 mjini Fortaleza, kufuatia sare ya bila kufungana ndani ya dakika 120 katika mchezo wa Nusu Fainali usiku huu.
Wataliano walifungwa na Waspanyola katika Fainali ya Euro mwaka jana wameshindwa kulipa kisasi na sasa Fainali ya michuano hiyo mwaka huu Jumapili Uwanja wa Maracana, itawakutanisha wenyeji La Roja na Brazil wenyeji.
Leonardo Bonucci wa Italia alikosa moja ya penalti 14 na Jesus Navas akaweka nyavuni mkwaju wa mwisho na kuipeleka Hispania Fainali.
Close shave: Spain moved through to the Confederations Cup final after beating Italy on penalties in Fortaleza
Ni tishio: Hispania wametinga Fainali ya Kombe la Mabara kwa kuifunga Italia kwa penalti mjini Fortaleza
Dramatic: Spain triumphed 7-6 in a dramatic shootout to set up a dream final against Brazil
Ushindi wa mbinde: Hispania wakishangilia 7-6 na sasa watamenyana na Brazil
Heartbreak: Italy were left devastated after pushing the world and European champions the distance
Maumivu: Italia wameng'oka

Si zaidi ya mwaka uliopita, Italia walipigwa 4-0 mjini Kiev, lakini The Azzurri waliwasili Fortaleza wakiamini kisasi kinawezekana, ingawa haikuwa hivyo.
Mikwaju ya penalti;  Jesus Navas alifunga a ushindi na kufanya 7-6 , baada ya Leonardo Bonucci mkwaju wake kuota mbawa.
Wengine wote waliotangulia walifunga; upande wa Hispania ni Sergio Busquets,  Juan Manuel Mata,  Sergio Ramos, Gerard Pique, Andries Iniesta na Hernandez Xavi.
Italia ni Riccardo Montolivo, Andrea Pirlo, Sebastian Giovinco, Daniele De Rossi, Alberto Aquilani na Antonio Candreva.
Kikosi cha Hispania kilikuwa: Casillas, Arbeloa, Sergio Ramos, Pique, Jordi Alba, Xavi, Busquets, Iniesta, Pedro/Mata dk79, Torres/Javi Martinez dk94 na Silva/Jesus Navas dk52.
Italia: Buffon, Maggio, Bonucci, Barzagli/Montolivo dk45,Chiellini, Candreva, De Rossi, Pirlo, Marchisio/Aquilani dk79, Giaccherini na Gilardino/Giovinco dk91.
Off target: Italy blinked first in the shout-out when Leonardo Bonucci fired over at 6-6
Anakosaaa: Leonardo Bonucci mkwaju wake uliota mbawa
Decisive: Jesus Navas stepped up to score the winning penalty and send Spain to the final
Ya ushindi: Jesus Navas alifunga ya mwisho, chini anashangilia
Jesus Navas
Jesus Navas
Glamour: Worldwide superstar Shakira was in the stands in Fortaleza
Shakira alikuwapo jukwaani Fortaleza 
This one is for you: Pique celebrates Spain's victory by the tightest of margins
Hii ni kwa ajili yako: Pique akishangilia ushindi wa Hispania
Support: Shakira was watching her partner Pique in action for Spain 
Shakira jukwaani
Greetings: Shakira meets FIFA president Sepp Blatter in the VIP lounge
Shakira alikutana na Rais wa FIFA, Sepp Blatter katika eneo la VIP uwanjani
Support: Shakira was watching her partner Pique in action for Spain
Shakira akimuangalia mpenzi wake Pique akiichezea HispaniaOn the box: A spectator enjoys the party atmosphere in Fortaleza
Shabiki
Evens: The teams were locked at 0-0 after 120 minutes in the all European semi-final
Dakika 120 ziliisha 0-0 
Outnumbered: Italy's Giorgio Chiellini tries to win a header against Sergio Ramos and Gerard Pique
Giorgio Chiellini wa Italia akijaribu kupiga kichwa katikati ya Sergio Ramos na Gerard Pique
Effort: Fernando Torres attempts a shot on goal as Gianluigi Buffon watches
Jitihada: Fernando Torres alifumua shuti lililopanguliwa Gianluigi Buffon
Stretch: Christian Maggio gets his head to the ball in front of Spanish goalkeeper Iker Casillas
Anateleza: Christian Maggio alikaribia kumtungua kipa wa Hispania, Iker Casillas
On the ball: Manchester City's David Silva attempts one of his elusive runs
David Silva akipasua
Held his nerve: midfielder Andres Iniesta slotted his penalty past Buffon in the Italian goal
Andres Iniesta alimtungua Buffon kwa penalti

Friday, May 31, 2013

ARSENAL SASA WAINYIMA RAHA KABISAAAAAAA MAN UNITED KATIKA DILI LA FABREGAS

IMEWEKWA MEI 31, 2013 SAA 1:30 ASSUBUHI
KLABU ya Manchester United inaweza kulazimika kutoa fedha nyingi ili kumpata Cesc Fabregas, kutokana na Barcelona kuwa tayari kuwauzia mchezaji huyo Arsenal kwa nusu bei kulingana na makubaliano yao wakati anahamia Nou Camp. 
Inamaanisha Barcelona ingeweza kumuuza kwa Pauni Milioni 70 mchezaji huyo, lakini The Gunners wanaweza kupewa ofa ya kumsajili kwa Pauni Milioni 20, hivyo United lazima wapande dau. 
United ina nia thabitio ya kumsajili kiungo huyo wa Hispania, lakini Arsenal sasa ndio imeshikilia mustakabali wa dili hilo na ndiyo wataamua kama kocha mpya David Moyes atampata nyota huyo au la. 
On the move: Cesc Fabrgeas's future is surrounded in uncertainty with Manchester United keen on the midfielder
Njaini: Cesc Fabrgeas anatakiwa Man United 
Cesc Fabregas
Ilikubaliwa wakati Fabregas anarejea Catalan mwaka 2011, kwamba The Gunners watapunguziwa asilimia 50 akiuzwa. 

Thursday, May 30, 2013

AZAM YASAJILI WATATU WAKIWEMO WAWILI WA UJERUMANI...NI MAKINDA TUPU

Amepandishwa; Mudathir Yahya
Na Mahmoud Zubeiry, IMEWEKWA MEI 31, 2013 SAA 5:25 ASUBUHI
WAKATI Simba na Yanga SC zinakwenda mbio kusajili wachezaji wapya, washindi wa pili mara mbili mfululizo katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam FC wao wamesema hawasajili hata mchezaji mmoja, zaidi watapandisha wachezaji kutoka katika akademi yao.
Katibu wa Azam FC, Nassor Idrisa ameiambia BIN ZUIBEIRY leo asubuhi kwamba, kocha Muingereza Stewart Hall amesema kwa sasa hakuna umuhimu wa kusajili, zaidi ya kuiangalia timu kwanza katika mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu, unaotarajiwa kuanza Agosti.
Nassor amesema kwamba kocha amewaambia iwapo atagundua kuna mapungufu katika timu katika kipindi cha kuanzia Agosti, ndipo atasajili Novemba katika dirisha dogo.
“Unajua mwakani ndio tutakuwa na haya mashindano ya Afrika (Kombe la Shirikisho). Na pia ndio mbio za ubingwa wa Ligi Kuu (Bara) zinapamba moto. Kwa hiyo mwalimu ameomba hicho ndicho kipindi kizuri kusajili,”alisema.
Hata hivyo, Nassor alisema kwamba kocha amependekeza wachezaji kadhaa wasajiliwe kutoka katika akademi ya klabu hiyo, wakiwemo Mudathir Yahya ambaye yupo na timu ya taifa Ethiopia, kipa Hamad Kadebi na Dissmas ambaye kwa sasa yuko kwenye majaribio Ujerumani.
“Tuna vijana wengi wazuri katika akademi yetu, mwalimu anawapa nafasi sasa. Anaamini timu yake ipo vizuri na hana haja ya kuhangaika kutafuta wachezaji wapya,”alisema Nassor.
Mudathir pia alikuwa kwenye majaribio nchini Ujerumani, akarudishwa nchini kujiunga na timu ya taifa, Taifa Stars kujiandaa kwa mchezo wa kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Dunia mwakani nchini Ethiopia.

SIMBA SC YATAKA KUSAJILI MKALI KULIKO OKWI

Kifaa cha ukweli; Moses Oloya yuko mbioni kutua Simba SC

Na Mahmoud Zubeiry, IMEWEKWA MEI 29, 2013 SAA 1:15 ASUBUHI
KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Moses Oloya (20) yupo katika mazungumzo na na klabu ya Simba SC, ambayo yanaendelea vizuri.
Tayari mshambuliaji huyo wa Saigon Xuan Thanh ya Vietnam amerejea Kampala, Uganda kujiunga na timu yake ya taifa, kwa ajili ya mechi ya kuwania tiketi ya Kombe la Dunia.
Kiongozi wa Simba SC yupo Uganda tayari na anaendelea na mazungumzo na kiungo huyo, ambaye aling’ara katika Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge mwishoni mwa mwaka jana na kuiwezesha Uganda kutwaa Kombe.
Kiongozi huyo aliyefanikisha usajili wa Mganda mwingine, beki Samuel Ssenkoom wa URA, amefikia sehemu nzuri katika mazungumzo na mchezaji huyo mwenye nguvu, kasi na uwezo mkubwa wa kumiliki mpira. 
Bila shaka, kama mazungumzo yataendelea vizuri, ndani ya siku mbili Oloya atasaini Simba SC.
Na ikimpata mchezaji huyo aliyezaliwa Oktoba 22, mwaka 1992, akitokea KCC ya kwao, aliyoichezea tangu 2009 hadi 2010, Simba itakuwa imelamba dume.
Oloya ni mchezaji mzuri kuliko Emmanuel Okwi ambaye Simba SC imemuuza Etoile du Sahel ya Tunisia na Desemba mwaka jana, Yanga SC na Azam zote zilijaribu kutaka kumsajili bila mafanikio.
Mwishowe Azam ikaona bora kumsajili Brian Umony, wakati Yanga ilibanwa na nafasi ya idadi ya wachezaji wa kigeni, lakini ikamuweka kwenye orodha ya wachezaji inayoweza kuwasajili kwa ajili ya msimu ujao.

MSIBA WA NGWAIR UPO MBEZI BEACH, TARATIBU ZA MAZISHI ZAANZA

  - 20 hours ago
Marafiki, marehemu Ngwea kushoto na M kulia *Na Mwandishi Wetu,* IMEWEKWA MEI 29, 2013 SAA 1:30 MCHANA FAMILIA ya msanii Albert Mangwea aliyefariki dunia jana nchini Afrika Kusini, imeanza taratibu za mazishi na jioni hii inafanya kikao Leaders Club, Kinondoni, Dar es Salaam. Nyota wa Bongo Fleva, Albert Mangwea maarufu kama Ngwair, alifariki dunia jana jioni akiwa nchini Afrika Kusini kutokana na kuzidiwa na matumizi ya dawa za kulevya. Wakati mwili wake unakimbizwa hospitali ya St Hellen Joseph, rafiki yake naye, msanii pia M To Te P alikuwa katika hali mbaya, pia kwa utumiaji wa... more »

SUAREZ ASEMA KUIKATALIA REAL MADRID NI NGUMU, REINA NAYE ASEMA YALE YALE KUHUSU BARCA....LIVERPOOL YABOMOKA


IMEWEKWA MEI 30, 2013 SAA 3:45 ASUBUHI MSHAMBULIAJI Luis Suarez amezua hofu juu ya mustakabli wake katika klabu ya Liverpool baada ya kusema itamuwia vigumu kukataa ofa ya Real Madrid. Suarez, anayetumikia kifungo cha adhabu ya mechi 10 kwa kumng'ata beki wa Chelsea, Branislav Ivanovic, amesema katika mahojiano na kituo cha Redio cha Uruguay analazimika kuondoka kutokana na jinsi anavyoshambuliwa na vyombo vya habari England. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 alisema: "Liverpool wanataka nibaki, lakini ngumu kuwakatalia Real Madrid. [image: Bombshell: Suarez has admitted he w... more »

Tuesday, March 19, 2013


Tabata Rangers
Timu ya mpira wa miguu ya Tabata Rangers ina hitaji
muda ili kurejea katika kiwanngo chake cha mwakaka
uliopita ime chuja na kupoteza mashabiki wengi
1.musa
2.isack
3.dany
4.sijali
5.okolo
6.yusuph
7.nestory
8.kessy
9.mwarami
10.david
11.masenda
Coach R.zora

@kwa hisani ya maziwa bora ya Asasi