Thursday, May 30, 2013

SUAREZ ASEMA KUIKATALIA REAL MADRID NI NGUMU, REINA NAYE ASEMA YALE YALE KUHUSU BARCA....LIVERPOOL YABOMOKA


IMEWEKWA MEI 30, 2013 SAA 3:45 ASUBUHI MSHAMBULIAJI Luis Suarez amezua hofu juu ya mustakabli wake katika klabu ya Liverpool baada ya kusema itamuwia vigumu kukataa ofa ya Real Madrid. Suarez, anayetumikia kifungo cha adhabu ya mechi 10 kwa kumng'ata beki wa Chelsea, Branislav Ivanovic, amesema katika mahojiano na kituo cha Redio cha Uruguay analazimika kuondoka kutokana na jinsi anavyoshambuliwa na vyombo vya habari England. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 alisema: "Liverpool wanataka nibaki, lakini ngumu kuwakatalia Real Madrid. [image: Bombshell: Suarez has admitted he w... more »

No comments:

Post a Comment